Breaking News: Watano wafariki Hiace kugongana na Basi la New Force


WATU watano wamefariki dunia leo asubuhi baada ya basi la New Force lilikokuwa linatokea Msamvu kwenda Mikese kugongana na gari dogo la abiria (Hiace) lililokuwa linatokea Msamvu, mkoani Mogororo.  Pia watu kadhaa ambao idadi yao bado haijajulikana, wamejeruhiwa.

Mashuhuda wa ajali hiyo wanasema chanzo ni dereva wa gari hilo la Hiace kutaka kulipita gari la mchanga lililokuwa mbele ambapo lilijikuta likigongana uso kwa uso na basi hilo.
Breaking News: Watano wafariki Hiace kugongana na Basi la New Force Breaking News: Watano wafariki Hiace kugongana na Basi la New Force Reviewed by taragwa on March 04, 2018 Rating: 5

No comments:

Powered by Blogger.