MAKATIBU WAKUU NA WATENDAJI WAFANYA ZIARA ZIWA MANYARA.


Image result for ZIWA MANYARA
Jumla ya Makatibu wakuu wa wizara 15 wakiambatana na baadhi ya watendaji wa wizara hiyo kutoka mkoani Arusha, wametembelea Ziwa Manyara kuona hali halisi ya uharibifu wa ambao unatishia kukauka kwa ziwa hilo. Mwenyekiti wa makatibu wakuu hao, Katibu mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Maimuna Tarishi amesema lengo la ziara hiyo ya kikazi ni kujionea uharibifu wa ziwa na kuishauri Serikali.
Posted On Sunday, 04 March 2018 06:01
Image may contain: 5 people, people smiling


Ndugu zangu, 

Tuliokuwepo tutakumbuka tulikuwa wapi tulipofikiwa na habari za kushtusha za kuawa kwa Waziri Mkuu wa India, Bi. Indira Ghandi. Ni asubuhi ile ya Oktoba 31, 1984.

Mimi nilikuwa maeneo ya Posta Mpya. Ilikuwa majira ya saa tano asubuhi. Ghafla nikaona Daily News, tofauti na niliyoiona asubuhi. Daily News hiyo ilikuwa ikisomwa na watu ikiwa na habari kuu na picha ukurasa wa mbele; "Indira Ghandi Ameuawa."


Indira Ghandi aliuawa kwa kupigwa risasi na walinzi wake wawili masingasinga wakati akitembea kwa miguu kwenye bustani ya Ikulu kwenda kuhojiwa na mwanahabari wa Kimagharibi.
Posted On Saturday, 03 March 2018 21:19
MAKATIBU WAKUU NA WATENDAJI WAFANYA ZIARA ZIWA MANYARA. MAKATIBU WAKUU NA WATENDAJI WAFANYA ZIARA ZIWA MANYARA. Reviewed by taragwa on March 03, 2018 Rating: 5

No comments:

Powered by Blogger.