Wananchi walivyomkataa Mkuu wa Wilaya mbele ya Waziri Mkuu


Wananchi wa Wilaya Kwimba wamejitokeza na mabango mbele ya Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa wakati wa ziara yake kwenye Wilaya hiyo wakishinikiza kuwa hawamtaki Mkuu wa Wilaya wa Kwimba kwa madai amekuwa akiwafanyisha kazi wananchi kwenye mashamba yake bila ya kuwalipa na kuwakamata bila kosa.
Wazii Mkuu baada ya kusoma mabango ya wananchi amemuagiza Mkuu wa Mkoa John Mongella kulifanyia uchunguzi ili majibu yapatikane upesi.
Wananchi walivyomkataa Mkuu wa Wilaya mbele ya Waziri Mkuu Wananchi walivyomkataa Mkuu wa Wilaya mbele ya Waziri Mkuu Reviewed by taragwa on March 03, 2018 Rating: 5

No comments:

Powered by Blogger.